MTAA WA TWIGA NA JANGWANI WAKUBWA NA WINGU ZITO

beki wa simba henock Inonga akishangilia baada ya kufunga bao la ungozi kwa kwa simba katika mchezo wa derby ulipigwa wikiendi iliyo pita



Timu ya Yanga imechezea kichapo cha magoli mawili bila ya majibu kutoka kwa watani zao Simba katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa siku ya jumamosi katika Dimba la benjamin Mkapa dar es salaam. 

magoli ya simba yamefungwa na Enock Inonga bacca na Kibu Denis katika dimba la Benjamin wiliamu mkapa. 

Akizungumzia mmoja wa mashabiki wa yanga Bi Nancy Omary amesema kuwa

"kuanzishwa kwa sure boy namba kumi ndio sababu ya kupoteza mchezo huo". 

 Vile vile miongoni mwa mashabiki wa yanga Bwana Othumani Shayo amesema kwamba"

Simba hawajashinda mda mrefu hii ndio imesababisha sisi tupoteze mechi ya leo". Pia Afisa habari wa timu ya yanga Bwana Ally Kamwe amesema kuwa"kama tungewafunga tena baadhi ya viongozi wa simba wangefukuzwa na kuleta taharuki ndani ya timu yao".

Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SAFARINI KUWAVAA WAYDAD

GETI LA DSJ LAPOTEZA MVUTO