GETI LA DSJ LAPOTEZA MVUTO

     

GETI LA DAR ES SALLAAM SCHOOL OF JOURNALISM(DSJ) LILILOPOTEZA MVUTO

 


Wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari cha Dar es salaam school journalism DSJ walalamikia  geti la kuingialia chuoni hapo kutokana na geti hilo  kupoteza mvuto .


       

Akizungumzia swala hilo mmoja wa  wanafunzi chuoni hapo Bi, Sayuni Richard amesema kuwa"Kwa geti la chuo halilizishi kwasababu huwezi kujua kama ni geti la chuo,pia nembo haiyonekani vizuri"

       Pia Mwanafunzi huyo ameongezea kea kusema" Namuomba Mkuu wa chuo alitengeneze geti vizuri na kuliwekea nembo ili liwe na mvuto".

        

        Vilevile  mwanafunzi wa chuo hicho Bwana, Elick Ruben amesema kuwa"Yeye binafsi halizishwi na geti la chuo kwasababu mlinzi anatumia nguvu kubwa wakati wa kulifungua"

      Pia mwanafunzi huyo ameongezea kwa kusema kuwa "anaomba geti hilo liboreshwe ikiwezekana waweke lile la mataili". 

Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SAFARINI KUWAVAA WAYDAD

MTAA WA TWIGA NA JANGWANI WAKUBWA NA WINGU ZITO