Posts

SIMBA SAFARINI KUWAVAA WAYDAD

Image
          Kibu denis akiwa uwanja wakimataifa wa ndege wa julius nyerere tayari kwa safari ya morocco     Timu ya wekundu wa msimbazi Simba Sport Clubu imekwea pipa hii leo kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya kuwavaa waydad casablanca siku ya 28/04/2023 katika jiji la Casablanca. kocha  msaidi wa simba Juma Mgunda akishuka kwenye basi tayari kwa safari ya morocco             Mmoja wa mashabiki wa Simba Bwana Faruku Mlaponi amesema kwamba "Sisi ni bora kuliko waydad na tunaenda kuwatoa wakiwa huko juko kwao Morocco".           Akizungumza na waandishi wa habari Afisa habari wa Wekundu hao wa msimbazi simba Bwana Ahmed Ally amesema kuwa"kusafiri mapema kutawasaidia wachezaji wapate muda wa kupumzika ili waweze kuivaa waydad wakiwa timamu kimwili na kiakili".            Vilevile Mwekezaji wa clabu ya simba Mh,Muhammed Dewji amesema kuwa "Lengo letu ni kueatoa w...

MTAA WA TWIGA NA JANGWANI WAKUBWA NA WINGU ZITO

Image
beki wa simba henock Inonga akishangilia baada ya kufunga bao la ungozi kwa kwa simba katika mchezo wa derby ulipigwa wikiendi iliyo pita Timu ya Yanga imechezea kichapo cha magoli mawili bila ya majibu kutoka kwa watani zao Simba katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa siku ya jumamosi katika Dimba la benjamin Mkapa dar es salaam.  magoli ya simba yamefungwa na Enock Inonga bacca na Kibu Denis katika dimba la Benjamin wiliamu mkapa.  Akizungumzia mmoja wa mashabiki wa yanga Bi Nancy Omary amesema kuwa "kuanzishwa kwa sure boy namba kumi ndio sababu ya kupoteza mchezo huo".   Vile vile miongoni mwa mashabiki wa yanga Bwana Othumani Shayo amesema kwamba" Simba hawajashinda mda mrefu hii ndio imesababisha sisi tupoteze mechi ya leo". Pia Afisa habari wa timu ya yanga Bwana Ally Kamwe amesema kuwa"kama tungewafunga tena baadhi ya viongozi wa simba wangefukuzwa na kuleta taharuki ndani ya timu yao".

GETI LA DSJ LAPOTEZA MVUTO

Image
      GETI LA DAR ES SALLAAM SCHOOL OF JOURNALISM(DSJ) LILILOPOTEZA MVUTO   Wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari cha Dar es salaam school journalism DSJ walalamikia  geti la kuingialia chuoni hapo kutokana na geti hilo  kupoteza mvuto .         Akizungumzia swala hilo mmoja wa  wanafunzi chuoni hapo Bi, Sayuni Richard amesema kuwa"Kwa geti la chuo halilizishi kwasababu huwezi kujua kama ni geti la chuo,pia nembo haiyonekani vizuri"        Pia Mwanafunzi huyo ameongezea kea kusema" Namuomba Mkuu wa chuo alitengeneze geti vizuri na kuliwekea nembo ili liwe na mvuto".                  Vilevile  mwanafunzi wa chuo hicho Bwana, Elick Ruben amesema kuwa"Yeye binafsi halizishwi na geti la chuo kwasababu mlinzi anatumia nguvu kubwa wakati wa kulifungua"       Pia mwanafunzi huyo ameongezea kwa kusema kuwa "anaomba geti hilo liboreshwe ikiwezekana waweke...